Mialiko ya wasanii ikulu iko wapi faida yake

Mialiko mingi tuliyosikia mkuu wa nchi kuwa alika wasanii tokea kipindi walicho jitolea kumfanyia kampeni ili kuingia madarakani kwa kula nyingi mwaka 2005 zili toka ahadi nyingi za kuwasaidia wasanii lakini nyingi zimekua hazitekelezeki hadi wasanii wanakata tamaa mara kadhaa wamekua wakialikwa lakini sijui wanakua na uwoga wa kuulizia ahadi zao walizo haidi ukaribu wao na ikulu umeathiri hata wasanii wa hiphop kushindwa kuzungumzia matatizo yanayo wagusa wananchi mfano ufisadi wanakalia kusifia machache mazuri yaliyofanywa huku asilimia nyingi ya mashabiki na raia walio tegemea kuona wasanii wanainua sauti zao kukemea wameywea kama maji.

Wasanii wa bongo na kujisahau


Wasanii wa kibongo huwa wanafeli kufikia malengo yao kwa sababu ya starehe zilizo pitiliza na kujikuta baada ya muda wanakua wamechoka vibaya na kurudi maisha ya ufukara kama zamani walivyokua tumeshaona mifano ya wsanii kibao waliyo fanikiwa na sasa wameanguka hawajiwezi.

Kujinyonga si suluhisho

Wiki mbili za hivi kaburini vyombo vingi vya habari vimetangaza habari za watu walio jinyonga bila ya kuacha taarifa kamili za kujinyonga kwao ila wengi ya wale wanao bahatika kuacha habari zao inakua ni kwa ajili ya mapenzi au maisha kuwa magumu kwao lakini si suluhisho iweje ukatize maisha yako wakati badi kuna ndugu zako wana kutegemea.

Kujinyonga si suluhu


Wiki mbili hizi zilizopita kume patikana na taarifa nyingi za watu kujinyonga bila ya kuacha taarifa kamili za kutenda kitendo hicho lakini wengi waliowahi kuacha ujumbe huwa u

Albino kuitwa dili sio sahihi











Kama binadamu mwenye akili toimamu na una maadili ya kidini au ya kiroho tu basi utakubaliana kuwa unyama na ukatili wanao tendewa ndugu zetu albino unawaumiza na kuwatia hofu ya kuishi kwa amani sheria zinazo simamia makosa kama hayo sijaona kutenda kazi vizuri zaidi ya kuchelewesha hukumu huku ushahidi upo kila kona serikali angalieni hili.

Mapenzi au Pesa na Rangi


Utakuta binti au mvulana mdogo ana anzisha uhusiano na bibi au babu wa kizungu na wanaweza wakafunga ndoa isiyo kua na baraka za wazazi au marafiki wa karibu wengi hufata rangi nyeupe na mambo ya mshiko na kusahau hisia zao za mapenzi zinahitaji nini angalieni sana wenye hii tabia ni htatari.

Ulaya au America na Vijana


Imekua kasumba siku hizi kila binti au mvulana anapenda maisha ya kuishi ughaibuni lakini hali huwa tofauti wafikapo huko kama mtu alikua si malaya basi atakua malaya au kama alikua si mlevi atakua mlevi yani kila starehe anakua anaijua yeye kwa sababu hakuna ndugu waa jamaa aliye karibu naye si tabia nzuri kwa kweli.

Liyumba na Mapesa ya watanzania


Aliyekua akiitwa Muheshimiwa sasa ni mtuhumiwa anahitaji kupata adhabu kubwa toka kea watanzania kwani ingekua China angepigwa risasi hadharani ila kwa kua bongo tuna mazoea ya wanao ongoza Tanzania wanakua mioyo yao imetawaliwa na imani za kidini lakini kiongozi bora ni yule anayekua na roho mbaya ndiyo maendeleo yatakuja kwa nchi.

Habari ya kwanza

Hellow washkaji life iko ngumu lakini si lazima kuaribu malengo yako kwa kukata tamaa jipe tumaini ubadili maisha.