Liyumba na Mapesa ya watanzania


Aliyekua akiitwa Muheshimiwa sasa ni mtuhumiwa anahitaji kupata adhabu kubwa toka kea watanzania kwani ingekua China angepigwa risasi hadharani ila kwa kua bongo tuna mazoea ya wanao ongoza Tanzania wanakua mioyo yao imetawaliwa na imani za kidini lakini kiongozi bora ni yule anayekua na roho mbaya ndiyo maendeleo yatakuja kwa nchi.

No comments: