Ulaya au America na Vijana


Imekua kasumba siku hizi kila binti au mvulana anapenda maisha ya kuishi ughaibuni lakini hali huwa tofauti wafikapo huko kama mtu alikua si malaya basi atakua malaya au kama alikua si mlevi atakua mlevi yani kila starehe anakua anaijua yeye kwa sababu hakuna ndugu waa jamaa aliye karibu naye si tabia nzuri kwa kweli.

No comments: