Wasanii wa bongo na kujisahau


Wasanii wa kibongo huwa wanafeli kufikia malengo yao kwa sababu ya starehe zilizo pitiliza na kujikuta baada ya muda wanakua wamechoka vibaya na kurudi maisha ya ufukara kama zamani walivyokua tumeshaona mifano ya wsanii kibao waliyo fanikiwa na sasa wameanguka hawajiwezi.

No comments: