Mialiko ya wasanii ikulu iko wapi faida yake

Mialiko mingi tuliyosikia mkuu wa nchi kuwa alika wasanii tokea kipindi walicho jitolea kumfanyia kampeni ili kuingia madarakani kwa kula nyingi mwaka 2005 zili toka ahadi nyingi za kuwasaidia wasanii lakini nyingi zimekua hazitekelezeki hadi wasanii wanakata tamaa mara kadhaa wamekua wakialikwa lakini sijui wanakua na uwoga wa kuulizia ahadi zao walizo haidi ukaribu wao na ikulu umeathiri hata wasanii wa hiphop kushindwa kuzungumzia matatizo yanayo wagusa wananchi mfano ufisadi wanakalia kusifia machache mazuri yaliyofanywa huku asilimia nyingi ya mashabiki na raia walio tegemea kuona wasanii wanainua sauti zao kukemea wameywea kama maji.

No comments: