Kushuka asilimia kumi ya kufaulu liwapi tatizi




Wanafunzi walio fanya mtihani wa kidato cha nne wmaka 2008 wamefeli kwa asilimia kumi zaidi kuliko miaka mingine iliyopita sasa sijui serikali inafanya jitihada gani ya kuokoa hili tatizo kwani wanafunzi wamesha kata tamaa ya kusoma kwa kutumia akili zao na kusubiria kupokea feki toka kwa wazazi wanaofanya kazi wizarani hivyo ni tatizo kubwa kwa taifa letu.

No comments: