Vifo na mateso ya wana apolo toka kwa wawekezaji


Tumesikia kesi nyingi toka migodini kuwa wana apolo huwa wanafanyiwa vitendo vya kinyama hadi wengine kufikia kupoteza uhai yote ni serikali kutopanga mikakati madhubuti kwa wananchi wake wa hali ya chini ambao ndio wapiga kula wengi na wanaoiweka serikali madarakani wakiwa na imani matatizo yao yata tatuliwa kwa wakati lakini iko tofauikabisa kwao hadi kufikia kukata tamaa.

No comments: