Ubinafsi wa P Funk waiangusha Bongo Records


Producer aliyekua maarufu lakini anaonekana kupotea kwa kutaka kupeleka studio yake kifamilia zaidi kuliko kibiashara sasa inaelekea kumtokea puani wakati nyimbo zake zinapotupwa kapuni kutokana na kushuka kiwango uwezo wake huku akimuacha Master J na Mj Records yake ikiwa juu vibaya kwa kujaribu kushirikiana na producers wengine kama macochali na wengine aliyo wahi kufanya nao kazi.

No comments: